Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Hahahaha aka katoto kanajuaga kuchezaaisee pole sana shunie
Kaangalie haka katoto utapunguza stress h
Hahahaha aka katoto kanajuaga kuchezaaisee pole sana shunie
Kaangalie haka katoto utapunguza stress h
Hahahaha aisee,,et ulinunua laki na 35..hizo figure sasa utadhan kweli vileEnzi zangu nilinunua hii simu laki na 35 muhenga mm watoto wa sasa hivi kipindi hiko hamjazaliwa mkiongozwa na baba wawili wa kudownload @ningendakoView attachment 1080078


Hahahaha miaka 12 iliyopita sijui nitakuwa na risit mpaka leo na kamba yangu naiweka shingoniHahahaha aisee,,et ulinunua laki na 35..hizo figure sasa utadhan kweli vile
Weka risiti hapa shunie![]()
Hahahaha miaka 12 iliyopita sijui nitakuwa na risit mpaka leo na kamba yangu naiweka shingoni



wahenga vitu kama hv ndio wanachukulia sifa zote sasa
Risit sina bwanawahenga vitu kama hv ndio wanachukulia sifa zote sasa
Kwenye ubora wenu wa watoto wa kudownload
Hahaha wooiihRisit sina bwana
Hahaha hata sio kweli,,wapo kweli shunieKwenye ubora wenu wa watoto wa kudownload
Wapo ndio baba wawili sijabisha mm lakini wa kudownloadHahaha hata sio kweli,,wapo kweli shunie
Hahahah umeanza sasaWapo ndio baba wawili sijabisha mm lakini wa kudownload
Halafu jirani mi na wewe ndo hatusalimiani shikamoo hivi kwaniniUpo ndugu yangu
ngoja nijaribu kukusalimia Kama utaitikaPole kwa stress shangazi mkubwaNimekuja sasa kupunguza stress zangu

Nimeanza nn sasa baba wawili na wakati naongea ukweliHahahah umeanza sasa
Sitaki jina la shangazi muiteni shangazi yenu maryPole kwa stress shangazi mkubwa![]()
DuhSitaki jina la shangazi muiteni shangazi yenu mary
Sitaki jina la shangazi muiteni shangazi yenu mary