Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,463
Pm mdogo wanguuHhahahahaha
Niko nasubiri mm kujua pamoja na wale wenzangu wa browser
Pm mdogo wanguuHhahahahaha
Niko nasubiri mm kujua pamoja na wale wenzangu wa browser
AkuuuuEbu tuambie uko
Sina mtekaji shuniePasaka ipo poa baba wawili kwahiyo tuseme huna mtekaji ww ebu acha uongo tuachane na habari za madame


Hahaha hahaha hahaha hahahaKuna rafiki yangu huwa anasoma pakupu forums kwa browser... yeye sio member wa jf..
Sasa hajui kama mimi ni member jf na kapuku, so huwa anakuja ananipigia story za kapuku kama anawajua kina shunie na kina obe kama yuko yuko nao humu..
Yaani he has the full story of you guys!
#sio wewe lakini mkuu
Ugundue nini etiNaombeni mniadd na mm
Hahaha kumbe na ww ulikuwa una kangomba,,binamu hauishiwi sababu aisee,,ahadi zote zile zmeenda na maji...malipo kwa kweli binamu hata nikiongea nitaonekananatunga maneno, si unakumuka niliunganishwa eti mimi nina kangomba, basi mkulu si akasamehe kwamba tusirudie tena, sijalipwa kama alivyoagiza. Sasa hivi najiuguza tu hapa.
Huyu Tumosa kweli nilimuahidi zawadi fursana, lakini naona hali imekuwa tete, inabidi asubiri Krismasi maana imekaribia nitakuwa nimelipwa.
Mwenyewe leo nimeshindia pipikoo
Kambaa...???Hahaha hahaha hahaha hahaha
Nimependa hizo kamba
Nishamuambia PM
MmmhKambaa...???
Anika madude yako hapa sasa..
Kwa nini eti baba Naah wangu mwenyeweVipi kwani pm yangu umezuiliwa airport nini?
Kwa nini eti baba Naah wangu mwenyewe
Hebu refresh banaMbona haifiki?
Hebu refresh bana
Sina ubavu wa kukukomesha baba Naah wanguLeo unanikomesha eeh
HahhaahhaKuna rafiki yangu huwa anasoma pakupu forums kwa browser... yeye sio member wa jf..
Sasa hajui kama mimi ni member jf na kapuku, so huwa anakuja ananipigia story za kapuku kama anawajua kina shunie na kina obe kama yuko yuko nao humu..
Yaani he has the full story of you guys!
#sio wewe lakini mkuu
Sijajibiwa badoAmekujibu nini?
Mm niko poa mama naah wa baba naahSalama kabisaaa jamanii
Vipi wewe
Nishamuambia PM
Ebu uko naomba nikujePm mdogo wanguu
Uko kwako unapoishi hakuna mtekaji kweliSina mtekaji shunie![]()