Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nipo salama kabsa binamu,vp malipo bado tu binamu??dada angu Tumosa ameshachoka kusubiri fursana

Jirani atakuwa katekwa labda


...malipo kwa kweli binamu hata nikiongea nitaonekananatunga maneno, si unakumuka niliunganishwa eti mimi nina kangomba, basi mkulu si akasamehe kwamba tusirudie tena, sijalipwa kama alivyoagiza. Sasa hivi najiuguza tu hapa.

Huyu Tumosa kweli nilimuahidi zawadi fursana, lakini naona hali imekuwa tete, inabidi asubiri Krismasi maana imekaribia nitakuwa nimelipwa.
Mwenyewe leo nimeshindia pipikoo
 
Binamu njia ya zamani ndio mpango nampenda sanaa anko wako lee

...najua na hongera sana. Unastahili cheti cha uvumilivu maana anko wangu Lee eti tangu Ijumaa kuu alijifungia hotel na yule dada bank teller akasema atatoka siku ya ufufuo, sijamuona leo labda atatoka kama Yesu alipoamua kwenda kujionesha kwa wanafunzi wake. Kuwa mvumilivu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom