Makapuku Forum

Makapuku Forum

T ndio analisemaga
Kuna rafiki yangu huwa anasoma pakupu forums kwa browser... yeye sio member wa jf..

Sasa hajui kama mimi ni member jf na kapuku, so huwa anakuja ananipigia story za kapuku kama anawajua kina shunie na kina obe kama yuko yuko nao humu..

Yaani he has the full story of you guys!

#sio wewe lakini mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom