Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Nakuona mama msalimie mtekajiEeeeh ndiwoooo![]()
Uongo sasaMfyuuuuuu
Ebu niambie umekumbuka nn eti
Woyooooooooimepita hiyo
Mm namwamini mama naah sababu hatufichani
Hahahahaaa! Mwambie Dada Arelax bhana...kivuli chake nipo salama kabisa na nampenda..
Mm zaidi jamani nakupenda mrembo wangu![]()
Kwahiyo ile ya tigo si ndio uliyomblock
Sakayo kanishinda sana halafu paw akija anashindwa kuongea nae ananiachiaHahahaaa...![]()
Ameeen tunakupenda T ulijue hiloHahahahaaa! Mwambie Dada Arelax bhana...kivuli chake nipo salama kabisa na nampenda..
Basi hiyo no mtumie kwakeMsema ukweli..
Ile tigo haipogo tena!
Sijamblock mtu wala sijablockiwa mimi.
😃😃😃😃nimecheka hii commentningendako baba wawili wangu mm wa kudownload kiukweli nimekumiss jamani
Aliyekuteka akuachie basi jamani ata kidogo tu
I love you tooMungu azidi kuniwekea tu nawapenda mm yaan nawapenda tu

Hahaha hahaha hahaha
Jamani baba wawili wangu nilikumiss mm naona ndio umeachiwa na mtekajinimecheka hii comment