Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,553
- 63,058
Salaaaale...Nakojoooaa ila wewe mzee Mungu anakuona mm nina file lako nilijuaje kama ulikuwa dar
Hebu fukua file langu..
Salaaaale...Nakojoooaa ila wewe mzee Mungu anakuona mm nina file lako nilijuaje kama ulikuwa dar
Hiiv lakini hivi vitu si tumeshamalizaga mama Nah...leo vimetoka wapi tena?Wala sikushambulii mie.. Nakuambia tuu jamani, sikupenda
Nakojoooaa ila wewe mzee Mungu anakuona mm nina file lako nilijuaje kama ulikuwa dar
Hata whatsapp ya kawaida unaweza kufanya hivyo..Hatumii GB whatsapp
Nasikitika kukuambia hujawahi cheza na text zangu!Mko serious, niko makini kuliko unavyodhani ,nacheza sana na hz texts zenu na za watu wa humu kila siku, more than 9 years ujue
Uku street free bwana huku ndio makapuku ukipanick inakula kwako
Acha na mie nitoke!Eiish acha nileft humu muwe na usiku mwema jamani watu wamepanick sijui shida nn woiiii matani mtu unapanick
Mbona ulisema una picha zangu sijapanick
Muwe na usiku mwema
Sema kweli jamani
Baba NaahHata hivyo siwezi...kuwazuia
Hivi upo serious woiiii this is chit chat bwana

Eiish acha nileft humu muwe na usiku mwema jamani watu wamepanick sijui shida nn woiiii matani mtu unapanick
Mbona ulisema una picha zangu sijapanick
Muwe na usiku mwema
Kwa hao walokuletea khabari
Hahaha hahaha
I think it is....
Tulimaliza siku nyingi sana...Hiiv lakini hivi vitu si tumeshamalizaga mama Nah...leo vimetoka wapi tena?
natamani kumuona alivyopanick
Natamani nikuingize kwa moyo wangu uone kilichopo..Natamani kuamini ila nashindwa
Hahahhaha ndio