Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Ebu ngoja nikamtafute lee kwanzaKo hiyo bora lee au? ?
Ebu ngoja nikamtafute lee kwanzaKo hiyo bora lee au? ?
Hahaha hahah acha wasome tuuSijablock mtu mimi...
Afu ninyi mnaosoma kwa browser kimya kimya...! Nawazingua sasa hivi.
Kumbuka sisi walutheri ujue sema tutafanya tu hivyoHahahaha, nakukumbusha tu kesho supu ni maharage na chapati, Heineken zako Leo zi balance
Ila dah ,ila Mie napenda aman na furaha,sipendi maneno ya pembeniSawasawa
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahahaMie niwe mkweli sikujui hata kdg,wala picha yako sina ,zaidi ya kuchat humu hkn kingine nachojua juu yako ,labda avatar na hizi story zenu za kuwa block basi
Mie niwe mkweli sikujui hata kdg,wala picha yako sina ,zaidi ya kuchat humu hkn kingine nachojua juu yako ,labda avatar na hizi story zenu za kuwa block basi




Nakojoooaa ila wewe mzee Mungu anakuona mm nina file lako nilijuaje kama ulikuwa darWala sikushambulii mie.. Nakuambia tuu jamani, sikupendaMtu chake..
Leo nashambuliwa sana! Ila sijafanya hivyo mimi
Sawa ukifanya kwa niaba yangu vzr piaKumbuka sisi walutheri ujue sema tutafanya tu hivyo
Sawa bwanaHakuna aliyenipa picha zako, kifupi wewe sikujui na si wewe karibu wote humu ,mie napenda kuzingua ki chitchat tu
Tunakutania banaHakuna aliyenipa picha zako, kifupi wewe sikujui na si wewe karibu wote humu ,mie napenda kuzingua ki chitchat tu
Hatumii GB whatsappWewe ujue kwenye whatsaap kuna options za nani na nani auone status zako...
Sasa kama umeliwa block na wewe ujue..
Sinaga hizo za kumlima mtu block bila maelezo!Wewe ujue kwenye whatsaap kuna options za nani na nani auone status zako...
Sasa kama umeliwa block na wewe ujue..
Uku street free bwana huku ndio makapuku ukipanick inakula kwakoDah ndio maana Nilikua nakuuliza kabla sijaja ,huko naweza toa stress ,maana nishazoea kule intelligence na international
Sinaga Uzi mwingine zaidi ya huu ambao naku happy ,kumbe wadau aaargh
Sema kweli jamaniMkuu wozap sipendi kwa sababu uongo mwingi mno,MTU asiye muelewa anaweza poteza marafiki kwa urafiki wa wozap
Hivi upo serious woiiii this is chit chat bwanaIla dah ,ila Mie napenda aman na furaha,sipendi maneno ya pembeni
Kwa hao walokuletea khabari
Hahaha hahaha hahaha hahaha hahaha
Wewe mzee wa Shunie umepanick eehhh...
Chit chat





natamani kumuona alivyopanickMzee kapanick hukoooMbona chit chat.![]()
Haya nitafanya kwa niaba yako ww mzeeSawa ukifanya kwa niaba yangu vzr pia