Makapuku Forum

Makapuku Forum

Unakumbuka siku NN alikuzingua humu khs Mimi ,ulipanic huku panic ? Mpk ukaanza kunishambulia ,ila mie nikajua huu utani tu NN anampanikisha MTU ,ukajaa

Easy
We mzee relax kama alivyoimba darasa woiiii kumbe hujuagi matani hapa tunataniana tu acha kupanick relax
 
Mie sijapanic,tuendelee na utani wala usijari, nasoma texts kwa umakini mno
Kuwa na amani kabisaaa...
Unafikiri ingekuwa block si ningeenda pm kwake ningeweka hapa?!

Nisamehe kama nimekukwaza ila hutoona nakutania tena mkuu! Nilijua ni moja ya utani wa kapuku!
Nisamehe mimi, usiku mwema!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom