Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Ndiooo jirani,


umetokea wapi jirani hahaNdiooo jirani,


umetokea wapi jirani hahaHahahaha aisee binamu...hapo hata kitambi hakionekani, sijui kwanini nikivaaga nguo nyeupe nakuwa kama padri asiyekula sadaka kupitiliza
...wewe si uko zako Congo, sijui Kasavubu, tafuta dawa ya kupendwa, sio unakaaakaa na mvi kwenye ndevu kama mpiga adhana




Hahahaha aisee binamu
Hahahaha aisee binamu
Sawa sawa ankoo,,Hahahaha, nazitoa basi ,nisikuudhi mtarajiwa wangu
MTC | 101|![]()
Bila kusahau cheni pia![]()
anko unafeli sasa,hutakiwi kukata tamaa

Binamu, shwari kaka. mambo yakoje kuielekea Ijumaa
HahahahaSikati tamaa huyu mie ninae ,labda nife
MTC | 101|![]()

ankooSawa sawa ankoo,,

Anko huyu mutoto Mie ninae mwanzo mwisho ,lzm aje huku kutulia
MTC | 101|![]()




PoleAnkoo unaanza kufeli sasa,,,support yote hii tuliokuonesha kweli,unaaga mapema ankoo,,c'moon ankoo![]()
Ndiooo jirani,umetokea wapi jirani haha


waaow kadhuri... Teh jirani wewe nimetokea kule kule kwa kila siku.. So ana pcha zako Huyo
Sasa unanipendaje hunijui mm sikujui au ndio yale ya jf kupenda avatar fake au mwandiko wa mtu


so ahabu kaziprint kabisa baba wa watuKama auntie yake Tumosawaaow kadhuri... Teh jirani wewe nimetokea kule kule kwa kila siku..
Sent using Jamii Forums mobile app


Salama binamu,mambo yanaende namshukuru Mungu,vp huko??kwema kabsa??
Hivi binamu umefufukia wapi lakini...kamba kiunoni tena, au unamaanisha shanga?

