Ni vile pm huwa siitumii whatsaap huna no yangu acha kunibadilishia gear angani we mzee

Ebu jibu uko we mzee acha kuchekaHahahaha
MTC | 101|![]()
Sasa unanipendaje hunijui mm sikujui au ndio yale ya jf kupenda avatar fake au mwandiko wa mtu

Mm apa jamaniHahahaha, Shunie
MTC | 101|![]()
Nishasahau mieKujibu nini
MTC | 101|![]()
binamu mwenyew kabsa
Mm apa jamani

HahahahHata Mimi nimesahau
MTC | 101|![]()
Binamu jana nimechagua nyimbo umenipotezea nachagua tena leo...hapo hata kitambi hakionekani, sijui kwanini nikivaaga nguo nyeupe nakuwa kama padri asiyekula sadaka kupitiliza
Atakuelewa kivipi ankoo unaaga mapema hivi,,tena leo upo na support ya kutosha,,hachomi leo wallah![]()

Wapi huko jumapili nawaaangalia mnyama yangu wakiwachinja mazembeKaribu ,jpili nipeleke milimani ,kwenye mdumange
MTC | 101|![]()
Ni vile pm huwa siitumii whatsaap huna no yangu acha kunibadilishia gear angani we mzee
...wewe si uko zako Congo, sijui Kasavubu, tafuta dawa ya kupendwa, sio unakaaakaa na mvi kwenye ndevu kama mpiga adhana
