Makapuku Forum

Makapuku Forum

Binamu jana nimechagua nyimbo umenipotezea nachagua tena leo

Naomba ifunanya ya marioo

...nimekusikia na kukusoma hapo juu ukijiimbia kumbe ndo hili songi, sisi vijana wenye mambo ya kizee mnatuchanganya.

Hili hapa sasa songi lako, furahia na kwa vile leo unajihisi uko mwenyewe duniani basi huhitaji kuwa na hela, nirushie mpunga kidogo

 
...nimekusikia na kukusoma hapo juu ukijiimbia kumbe ndo hili songi, sisi vijana wenye mambo ya kizee mnatuchanganya.

Hili hapa sasa songi lako, furahia na kwa vile leo unajihisi uko mwenyewe duniani basi huhitaji kuwa na hela, nirushie mpunga kidogo

Woooow
Asante binamu yangu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom