Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,281
- 33,591
Upo!!?Au katekwa?
![]()
Upo!!?Au katekwa?
![]()
Hahahaha, Mjomba mie mnileteee hapa hapa
MTC | 101|![]()
Safari hii katekwa kweli kweli
Sawa binamu,ngoja tusubiriBinamu usiiombee mabaya Simba, hata aje European champs league first XI lazima Kagere afanze yake.
Zile tano tulipigwa kwa taabu sana
KatekwaShuniekwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi mie si shangazi yako kwa mjomba.?Safari hii katekwa kweli kweli
Marhaba dada ake,habar ya uzima?Kaka ake shikamoo
Huku kwema kabsa,wawili wanaendeleajeKwema kabisa hamjambo na akina wawili

Asalyam alyequm aunt,,ww ni aunt na sio shangazi


Kwann??
Shunie bado anashangilia Afcon 2019.Shuniekwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Sijambo mimi baba Naa
Shuniekwani huko ni kupatwa kwa Shangazi au.?
Embu njoo bc tumekumisi wanao
Sent using Jamii Forums mobile app
Au katekwa?
![]()
Safari hii katekwa kweli kweli
Katekwa
Abeeeh jamani
Shiiiii jirani,Nmeona kivuli chake tayali


Shangazi mwenyeweAbeeeh jamani