ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Nini ?
Asante kwa dondoo mdauArsenal wana nia ya kuwauza viungo wake Henrikh Mkhitaryan, 30, na Mesut Ozil, 30, kama njia ya kupunguza gharama kubwa za mishahara za klabu hiyo. (Mirror)
Real Madrid inapaswa kumsaini
...najua wengine muda huu ndo muda wa kufuatilia Dira ya Dunia ya BBC, na wengi wetu ndo kufuatilia tamthilia sasa. Binafsi mida ya kukaa na kusikiliza Bakulutu, si unajua leo wki tumelikata kati.
Nakumiss tuu mdau

kwa mziki huu lzm ulale hoi.Na usipolala hoi ndo mwanzo wa kutusumbua kwa ndoto za ajabu ajabu. Nitavumilia kukoroma.
Hahaha sawa sawa binamu.....ha hahahah, binamu hivi umesahau kuwa mimi ni mwanachama wa kila ambacho AHADI zetu zinasema "Nitasema kweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko".
Siwezi kubadili gia angani maana ndege za sasa hivi wala haziaminiki.
Shari lakini