Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Kwema jirani
Kwema jirani




navyoipenda hii mie,Marahaba mama hujambo.?
Alafu leo unaamkia km Tumosa![]()
Sent using Jamii Forums mobile app

Salama jirani,za masiku?kwema huko
Kwema dada angu?haujambo??wawili wanaendeleaje
Hatujambo ankoo,kwema huko?Hamjambo
MTC | 101|![]()
Nzuri tuu tunajiandaa na kuukimbiza mwenge,huku kwema kabisa ulipotelea wapi jamaniSalama jirani,za masiku?kwema huko

Hahahaha, Anko kwema kabisa ,cjui weye hapo ulipoHatujambo ankoo,kwema huko?

Haha kwa hyo kuna mkesha wa Mwenge leo huko?Nzuri tuu tunajiandaa na kuukimbiza mwenge,huku kwema kabisa ulipotelea wapi jamani
Sent using Jamii Forums mobile app


Huku kwema pia ankoo,hicho kicheko mbona kama cha kuicheka Simba itakavyobebeshwa kapu la mabao huko,kma wale ConstantineHahahaha, Anko kwema kabisa ,cjui weye hapo ulipo
MTC | 101|![]()



Huku kwema pia ankoo,hicho kicheko mbona kama cha kuicheka Simba itakavyobebeshwa kapu la mabao huko,kma wale Constantine![]()

Shikamoo binamu...bado mapema ndugu yenu nina makorokocho ya kukamilisha, nikija nitakuja kukusalimia mdau ila kwa sasa hebu burudika kwanza.\\
Haha kwa hyo kuna mkesha wa Mwenge leo huko?
Nipo jirani,wawili walikuwa wanasumbua![]()


siyo leo jirani nawe... Asante telemundo...bado mapema ndugu yenu nina makorokocho ya kukamilisha, nikija nitakuja kukusalimia mdau ila kwa sasa hebu burudika kwanza.\\

Mdogo wangu shikamooo


