Makapuku Forum

Makapuku Forum

Hahaha haya unayoyasema hapa yana ukweli binamu?maana huchelewi kubadiri gia angani

.....ha hahahah, binamu hivi umesahau kuwa mimi ni mwanachama wa kila ambacho AHADI zetu zinasema "Nitasema kweli Daima, Fitina Kwangu Mwiko".
Siwezi kubadili gia angani maana ndege za sasa hivi wala haziaminiki.

Shari lakini
 
...ha hahaha, hakuna mwingine yaani ninampenda ABJ ia tatizo nikipata hela tu basi moyo wangu wote kwako, au una nyota ya dhahabu na fedha?
Looh,inawezekana nna hizo nyota mbili maana kupendwa na hela ambazo hazijatoka mpk leo dah.
ABJ mkumbatie vyema Mr wamsikia maongezi yake.?

Uko salama lkn,?Habari ya mtwara na kwingineko. ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Looh,inawezekana nna hizo nyota mbili maana kupendwa na hela ambazo hazijatoka mpk leo dah.
ABJ mkumbatie vyema Mr wamsikia maongezi yake.?

Uko salama lkn,?Habari ya mtwara na kwingineko. ?

Sent using Jamii Forums mobile app

...niko salama sana, asante kwa kuuliza, Ntwara kuchele, huku kwingineko jua tu linawaka, tunahangaika tu sasa hivi na kuangalia nini tununue tukilipwa hela zote maana zile nusu walizolipa, mfano mimi, nimeshazimaliza na nimezimaliza kimchezomchezo tu, nilibet kwamba Tz itafungwa na Uganda.

Kuhusu ABJ tafadhari useme taratibu asije akadhani kutofautisha uongo kwenye ukweli ni kazi rahisi.

Naamini uko poa hapo mjini,
 
...niko salama sana, asante kwa kuuliza, Ntwara kuchele, huku kwingineko jua tu linawaka, tunahangaika tu sasa hivi na kuangalia nini tununue tukilipwa hela zote maana zile nusu walizolipa, mfano mimi, nimeshazimaliza na nimezimaliza kimchezomchezo tu, nilibet kwamba Tz itafungwa na Uganda.

Kuhusu ABJ tafadhari useme taratibu asije akadhani kutofautisha uongo kwenye ukweli ni kazi rahisi.

Naamini uko poa hapo mjini,
kubeti tz ifungwe na uganda ulikosea sana ndio..
Kuhusu ABJ usjali mwelewa kbs bimkubwa huyu.
Niko poa mjini tunakimbizana na wakti.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom