hujaacha tuuWapendwa
Mko wapi
Nmewamiss mno
Mama mchungaji nami nilikumiss Sana


nimekimbia mbio ndefu jamani.



tafta pepsi baridi tafadhali
Mambo ya kumbatio hayanihusu mimi mkuu,ninachokijua mimi ni kwamba wazinzi wote wataenda motoni!![]()
Bwana asifiwe.Mkuu kwanza mimi nimeokoka, mambo ya kumbatio kuanzia leo usiwe unayaongea mbele yangu!
Mkuu vyura vinahusika nini na kuokoka?vyura ni tamuuu alizotuumbia mungu baba!View attachment 1013565


