Nigendako
JF-Expert Member
- Dec 1, 2017
- 23,296
- 122,440
Hahaha kubanduliwa vp unamaanisha
Hahaha kubanduliwa vp unamaanisha
Kwema binamu yangu...nimeipokea na nimekumiss binamu. uko salama kabisa wewe
Twakusalimia piaNawasalimia tu wadau, na kama kawaida siwachi kuleta burdani kila nikijaaliwa nafasi ya kutembelea na kukutana nawe mdau unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo
.Hujambo.?
Unamsalimiaje hvyo sasa

Hahaha ww cheka tu,,unamjua vzr binamu yangu,,naona yale mapesa ya koroshow huyapend ww
Nicholas Cage....Hahaha ww cheka tu,,unamjua vzr binamu yangu,,naona yale mapesa ya koroshow huyapend ww
Hahah kwema ndugu yangu,,habari ya uzima?Nicholas Cage....
Mkuu mimi niko vyema kabisaaHahah kwema ndugu yangu,,habari ya uzima?
Familia haijambo??
Muda mrefu mkuu hatujaonana,kule siku hz umekuwa nadra sana kuonekana,juzi kat nmeona uzi flan hv nkataka nikuchek mambo yakaingilianaMkuu mimi niko vyema kabisaa
Mkuu mimi nipo sana, sema kule sijatimba muda kidogo.Muda mrefu mkuu hatujaonana,kule siku hz umekuwa nadra sana kuonekana,juzi kat nmeona uzi flan hv nkataka nikuchek mambo yakaingiliana
Poa poa mkuu,,najua unapenda zile action za russia sana,,kama ukipata time jaribu kupitia hii kitu Huter Killer,,utajifunza kitu,,hii ni ya yule jamaa wa London Has Fallen na Olympus Has Fallen kama ulishawah zipitia mzeeMkuu mimi nipo sana, sema kule sijatimba muda kidogo.
Lakini ntakuja
Gerlad Butler, ninayo lakini sijacheki hebu kesho niicheki basi.Poa poa mkuu,,najua unapenda zile action za russia sana,,kama ukipata time jaribu kupitia hii kitu Huter Killer,,utajifunza kitu,,hii ni ya yule jamaa wa London Has Fallen na Olympus Has Fallen kama ulishawah zipitia mzee
Exactly mkuu,,huyo huyo jamaa,,cheki then utanipa feedback broGerlad Butler, ninayo lakini sijacheki hebu kesho niicheki basi.
Okay broExactly mkuu,,huyo huyo jamaa,,cheki then utanipa feedback bro

Okay bro
Amina mkuu na kwako piaPamoja bro,tumekuwa na wasaa mzuri jioni/usiku huu wa leo,Mungu azidi kutujaaria uhai tuzid kuonana zaid na zaid![]()
Kwema binamu yangu
Sijambo darling, hofu kwako.
Hahaha ww cheka tu,,unamjua vzr binamu yangu,,naona yale mapesa ya koroshow huyapend ww