Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nitajulia wapi mimi jameni, ndo kwanza mjini nimekuja hata wiki sijamaliza
....mambo ya wazungu hayo, sijui makiss kiss sijui masucksuck, mtu kala zake dagaa wa Mwanza na samaki wa kubanikwa halfu eti kiss me,
Huu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..
Asante kwa jibu mubashara (japokua ulichokijibu nna mashaka nacho)
Masucksuck mgeni umekuja mjini na kamba kila pahala

ningendako umeona jibu.?


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..
Asante kwa jibu mubashara (japokua ulichokijibu nna mashaka nacho)
Masucksuck mgeni umekuja mjini na kamba kila pahala

ningendako umeona jibu.?


Sent using Jamii Forums mobile app

...kweli kabisa nimekuja mjini hata tiketi sijatupa, nilijua baada ya viongozi wa dini kuitwa Ikulu basi na wale ambao hatujalipwa korosho tutaitwa tukanywe chai. Naona siku zinaenda tu, au wewe unajua kama tutaitwa au hatutaitwa? Maana nyie watu wa mjini kwa connection na kuchepuka hamjambo. Mtu anachepuka kulia anatokea kushoto,
 
Huu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..
Asante kwa jibu mubashara (japokua ulichokijibu nna mashaka nacho)
Masucksuck mgeni umekuja mjini na kamba kila pahala

ningendako umeona jibu.?


Sent using Jamii Forums mobile app

...huyu Ningendako ni mchepukaji, usimuite tafadhari. unaweza kumuita akaja kweli halafu akachepuka tena usimuone ukabaki huyu si alikuwa hapa saa hii tu
 
Furahiday njema wadau na ni mwezi mpya kabisa. Furahi kwa sababu wewe ni mtu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.

zile mambo za kwenda gym eti new year resolution zimeishia jana

To-Everyone-Who-Still-February-Meme.jpg
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom