marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
...ha hahaha, ukianza Feb hali itakuwa mbaya sana maana kwa jinsi siku zilivyo chache basi utaona kila rangi maziwa mtindi yatapikiwa chai




nadhani na lile jiwe la Jupiter (ktk je wajua na anti )litashuka kwa kasi ya 4G+Huu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..Nitajulia wapi mimi jameni, ndo kwanza mjini nimekuja hata wiki sijamaliza
....mambo ya wazungu hayo, sijui makiss kiss sijui masucksuck, mtu kala zake dagaa wa Mwanza na samaki wa kubanikwa halfu eti kiss me,



mgeni umekuja mjini na kamba kila pahalaHuu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..
Asante kwa jibu mubashara (japokua ulichokijibu nna mashaka nacho)
Masucksuckmgeni umekuja mjini na kamba kila pahala
ningendako umeona jibu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ni uzembe wa kiwango cha juu sana..
Asante kwa jibu mubashara (japokua ulichokijibu nna mashaka nacho)
Masucksuckmgeni umekuja mjini na kamba kila pahala
ningendako umeona jibu.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Pamoja naweFurahiday njema wadau na ni mwezi mpya kabisa. Furahi kwa sababu wewe ni mtu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
zile mambo za kwenda gym eti new year resolution zimeishia jana
![]()

ndio mtoto,lkn Binam yake Ningedako ye hajui hata neno lenyewe wala kitendo
Mfunze kama hutojalindio mtoto,lkn Binam yake Ningedako ye hajui hata neno lenyewe wala kitendo
Sent using Jamii Forums mobile app
Furahiday njema wadau na ni mwezi mpya kabisa. Furahi kwa sababu wewe ni mtu unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
zile mambo za kwenda gym eti new year resolution zimeishia jana
![]()

...huyu Ningendako ni mchepukaji, usimuite tafadhari. unaweza kumuita akaja kweli halafu akachepuka tena usimuone ukabaki huyu si alikuwa hapa saa hii tu