Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,324
- 35,833
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]namuona dada ake,,kwanza ukiwa mzembe mzembe vile,,anakuambia na undugu kwisha
...Ha ahhahahaha, ndugu yangu wewe ujue, ila sio kwa fitna unazonifanyia, utasema una ujamaa na Mzee Akilimali tajiri wa Yanga