Makapuku Forum

Makapuku Forum

...Ha ahhahahaha, ndugu yangu wewe ujue, ila sio kwa fitna unazonifanyia, utasema una ujamaa na Mzee Akilimali tajiri wa Yanga
Hahahahaha binamu khusu lile swala nmeshaacha bhna,maana mara zote nikiwa na yule binti haachi kukutaja ww,sijui ulimfanyia nn??au zile shanga na cheni ulizomnunulia

Hapo kwa tajiri wa Yanga,Mzee Akilimali ndio umeniweza kabsa binamu hahahah,,anamiliki msikiti yule mzee
 
Hahahahaha binamu khusu lile swala nmeshaacha bhna,maana mara zote nikiwa na yule binti haachi kukutaja ww,sijui ulimfanyia nn??au zile shanga na cheni ulizomnunulia

Hapo kwa tajiri wa Yanga,Mzee Akilimali ndio umeniweza kabsa binamu hahahah,,anamiliki msikiti yule mzee

...yule hawezi kuacha kunitaja, nilimsaidiaga sana maana nilitembea naye sana, hata akichoka namtia moyo, tunatembea tu, nikikaza harakaharaka anasema atachoka haraka na mimi nitamaliza mapema. tulitembea toka Shangani hadi hapa chuo cha Ualimu Mtwara. Hawezi kusahau, tulitembea sana maana hakuwa na nauli na mimi nilikuwa sijalipwa hela zangu za korosho hivyo sikuwa na nauli suluhu ikawa ni kutembea kwa miguu tulivaa viatu hatukuwa pekupeke
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom