Hivi nimekusema hapa ndo nimekuamsha eti.?marybaby za kutekwaaa
Salama mkuu wanguSijambo
Habari
Ebu uko
Mambo yangu yanaenda baba wawili sijui upande wakoSalama kabsa shangaz,mambo yako yanaenda?
Kwa shangaz hakunaga siri wallah





Yaan wewe







maka akeee kila nikiwa ferry nakukumbuka juzi nilikuwa uko nanunua samaki
hahahaha obe ananiambia kwamba unasimamia mradi wa furai ova kweli au






Ndio muungane sasa na baba wawili sawa toto angu mzuri mzuri
Kwa mahaba gani hayo
na wanaume huwa tunakaa eda








Mjomba kivipiii yaaaniSasa hv nataka niwe mjomba sasa
Unaruhusiwa mkuuSie ambao tumevuka vigezo vya ukapuku tunaruhusiwa kupota hu kuwapa Hi tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzeeke pamoja