marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Ntakuita mahali husika Aunt yangu mzuri mzuri,Hapana watu wawili tofauti ndio mana wako dini tofauti
Umeamka salama eti.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakuita mahali husika Aunt yangu mzuri mzuri,Hapana watu wawili tofauti ndio mana wako dini tofauti
Kwakweli uzee uishie huko ulipoUnaanzaje kuzeeka shangazi yako yupo
Nimelala sk 2Ebu kalale babe tutaonana kesho eeenh mtoto wangu mzuri mzuri![]()



Dada mkubwa kbs (kwa sauti ya shangazi )nakusalimia dadaUsijali
Mie nipo, usiku mwema mamii

muwe na asubuhi njema na mwanzo wa wikiendi mwema pia.Mamaa
unaijua hadithi ya nani atamfunga paka kengele,?

Mamaaunaijua hadithi ya nani atamfunga paka kengele,?
Nakunywa chai karibu
Sent using Jamii Forums mobile app






naijuaaa ntamfunga Mimi apa 

Sisi wote mpaka Shangazi hatukupendi!Salam zenu kapuku nawapenda mimimuwe na asubuhi njema na mwanzo wa wikiendi mwema pia.
Sent using Jamii Forums mobile app



Ebu nivueni nifanye sherehe
Eenh siku mbili






Obe kawa anko wake leo
Hahhaha ndio utulie hapo sawa toto
Hahaha shangazi yupo lkn









Kwema baba wawili za weweKwema shangaz
Najua huniangushagi baba wawiliHahahahaha kitchen party inatolewa naona
Yule mwenye ramli chonganishi hawezi sasa kutuchonganisha wote familia mojaaisee