marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Ntakuita mahali husika Aunt yangu mzuri mzuri,Hapana watu wawili tofauti ndio mana wako dini tofauti
Umeamka salama eti.?
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntakuita mahali husika Aunt yangu mzuri mzuri,Hapana watu wawili tofauti ndio mana wako dini tofauti
Kwakweli uzee uishie huko ulipoUnaanzaje kuzeeka shangazi yako yupo
Nimelala sk 2[emoji38][emoji38][emoji38]Ebu kalale babe tutaonana kesho eeenh mtoto wangu mzuri mzuri [emoji8]
Dada mkubwa kbs (kwa sauti ya shangazi )nakusalimia dadaUsijali
Mie nipo, usiku mwema mamii
Mamaa[emoji134]unaijua hadithi ya nani atamfunga paka kengele,?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]naijuaaa ntamfunga Mimi apa [emoji125][emoji125]Mamaa[emoji134]unaijua hadithi ya nani atamfunga paka kengele,?
Nakunywa chai karibu[emoji4][emoji39]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi wote mpaka Shangazi hatukupendi![emoji41][emoji41][emoji41]Salam zenu kapuku nawapenda mimi[emoji8][emoji8]muwe na asubuhi njema na mwanzo wa wikiendi mwema pia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ebu nivueni nifanye sherehe
Eenh siku mbili
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mjomba hivi si ulistaafu kwa shangazi au mi ndo sielewi??[emoji32][emoji32]
Sent using Jamii Forums mobile app
Obe kawa anko wake leo
Hahhaha ndio utulie hapo sawa toto
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Balukutu ni nini?
Hahaha shangazi yupo lkn
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwema baba wawili za weweKwema shangaz
Najua huniangushagi baba wawiliHahahahaha kitchen party inatolewa naona
Yule mwenye ramli chonganishi hawezi sasa kutuchonganisha wote familia moja[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]aisee