ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
yule ukimuuliza swali kama hl atatoa jibu haliendan na swali,si ajabu akaanza kuelezea mambo ya shanga sijui cheni imefanya niaje


















nimecheka uwiiiihhSent using Jamii Forums mobile app
yule ukimuuliza swali kama hl atatoa jibu haliendan na swali,si ajabu akaanza kuelezea mambo ya shanga sijui cheni imefanya niaje


















nimecheka uwiiiihhSawa sawa mkuu,zmefika
Balukutu ni nini?Leo balukutu day atakuwa ashatekwa na wavaa shanga huyo
....ntaachaje kulifahamu jina, mimi najua anaitwa baby darling.
Wewe akuambie jina jingine ambalo sio la malovedavi




Waaleykumsalaam (japo umeruka shangazi maryam)assalyam alyequm maryiam



Usiku mwema wadau! Hizi mvua sio za kupandia, mkae mkijua hilo alisikika mtaalamu wa kilimo cha kontua Lee akiongea huku akiwa amempakata mhudumu wa masajipala eneo la Sinza Mugabe
Eti umesema Asante sana Anko,?Asante anko kwa nyimbo huwa naipenda sana
Kaah..kumbe nae ndo kilichomuua maskini mh
Sent using Jamii Forums mobile app
Undugu tena,? Hapana kwakweli....ha hahhaa, ongea polepole (sio mwenezi), pesa ya korosho bado ndugu yangu (inabidi tu nikuite ndugu yangu maana u-baby bila hela ya korosho nitakuchosha tu )
Labda mkulu akimalizana na viongozi wa dini atatulipa. Kuwa mvumilivu
Sijapotea mimi jmn,Habari za kupotea