makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 35,976
- 104,439
Meno ya fisi ndio madhubuti....nipo, na mvua hizi gurudumu nimelichongea meno
Sent using Jamii Forums mobile app
Meno ya fisi ndio madhubuti....nipo, na mvua hizi gurudumu nimelichongea meno
Mahaba....
assalyam alyequm maryiam
Hahaa maji tena
Hahahahaha kitchen party inatolewa naonaUkae hapo sasa kwa baba wawili mtulizane sawa shangazi
Kwema shangaz




limebaki lako jiraniHatujambo mkuu
Hatujambo mkuu
Habar yako?
Wapo mkuu,itakuwa majukum ya hapa na pale yamebana tu
Wapo mkuu,itakuwa majukum ya hapa na pale yamebana tu




yule ukimuuliza swali kama hl atatoa jibu haliendan na swali,si ajabu akaanza kuelezea mambo ya shanga sijui cheni imefanya niaje