Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
Unamsemea binamu...huyu mchungaji anatumika na mabeberu
Unamsemea binamu...huyu mchungaji anatumika na mabeberu
...ha hahhaa, ongea polepole (sio mwenezi), pesa ya korosho bado ndugu yangu (inabidi tu nikuite ndugu yangu maana u-baby bila hela ya korosho nitakuchosha tu )
Labda mkulu akimalizana na viongozi wa dini atatulipa. Kuwa mvumilivu












We binti jamniiii
Mh maka akee we ni nani mpaka usimisiwe ebu acha kujifanya hivyo
Binti umefurahi eenh
Za kupotea jamani
Mkulu!...ha hahhaa, ongea polepole (sio mwenezi), pesa ya korosho bado ndugu yangu (inabidi tu nikuite ndugu yangu maana u-baby bila hela ya korosho nitakuchosha tu )
Labda mkulu akimalizana na viongozi wa dini atatulipa. Kuwa mvumilivu
Hahaha
Hapana kwa kweli simisiwi mwenzio, hiv mwaka ndio kama nimeuona leo, maana toka mwaka mpya uingie hakuna aliyenitakia heri ya mwaka mpya makaveli mimiMh maka akee we ni nani mpaka usimisiwe ebu acha kujifanya hivyo
Mh kwa nn unakuwa hivyo lakiniHapana kwa kweli simisiwi mwenzio, hiv mwaka ndio kama nimeuona leo, maana toka mwaka mpya uingie hakuna aliyenitakia heri ya mwaka mpya makaveli mimi
Sent using Jamii Forums mobile app
Rip Oliver....wimbo huu ukiangalia clip anaongelea gonjwa letu lililokaa sehemu tamu. aliwahi kutoa mhadhara baada ya kifo cha mwanaye kuhusu HIV/AIDS.
Bahati mbaya naye kaondoka kwa sida ile ile kama walivyoondoka wanamuziki maarufu wa ukanda huu.
Namkumbuka kwenye filamu ninayopenda kuangalia muda wote NERIA, alicheza kama anko
Tunakumiss tu sisi