Makapuku Forum

Makapuku Forum

...ha hahhaa, ongea polepole (sio mwenezi), pesa ya korosho bado ndugu yangu (inabidi tu nikuite ndugu yangu maana u-baby bila hela ya korosho nitakuchosha tu )

Labda mkulu akimalizana na viongozi wa dini atatulipa. Kuwa mvumilivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
...
7cf46794750967387ba29c202c7390c2.jpg

....kuweni wavumilivu, kaka Maiko ataenda mahakamani
 
Todii...[emoji22]

Sent using Jamii Forums mobile app


....wimbo huu ukiangalia clip anaongelea gonjwa letu lililokaa sehemu tamu. aliwahi kutoa mhadhara baada ya kifo cha mwanaye kuhusu HIV/AIDS.

Bahati mbaya naye kaondoka kwa sida ile ile kama walivyoondoka wanamuziki maarufu wa ukanda huu.

Namkumbuka kwenye filamu ninayopenda kuangalia muda wote NERIA, alicheza kama anko

 
....wimbo huu ukiangalia clip anaongelea gonjwa letu lililokaa sehemu tamu. aliwahi kutoa mhadhara baada ya kifo cha mwanaye kuhusu HIV/AIDS.

Bahati mbaya naye kaondoka kwa sida ile ile kama walivyoondoka wanamuziki maarufu wa ukanda huu.

Namkumbuka kwenye filamu ninayopenda kuangalia muda wote NERIA, alicheza kama anko

Rip Oliver
 
Back
Top Bottom