Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Heshima yko ze kitabuKiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba , 25, yuko tayari kuketi chini na klabu yake kuzungumzia kuongezwa muda wa mkataba wake. (Sun)
Heshima yko ze kitabuKiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba , 25, yuko tayari kuketi chini na klabu yake kuzungumzia kuongezwa muda wa mkataba wake. (Sun)
Abeee
Mm mzima sana prince
Njema za ww dearhabari za masiku dear
Nko poa sana...marhaba binamu, ujue ni kama mawazo yetu yamekutana pamoja. Uko aje wewe
Nko poa sana
Pole na majukumu
Nashukuru...asante. Pole na wewe pia. Kina JJ hawajambo eeh
Hahahaha sawa bwana
Sawa we mzee nimekuamini
WouzeeerrKiungo wa Manchester United na Ufaransa Paul Pogba , 25, yuko tayari kuketi chini na klabu yake kuzungumzia kuongezwa muda wa mkataba wake. (Sun)




GGMUMshambuliaji wa United na Ufaransa Anthony Martial , 23, yuko karibu kuukubali mkataba mpya ugani Old Trafford. (ESPN)




AkwendreeeeeEden Hazard , 28, amesema hatojiunga na Manchester United hata iwapo Zinedine Zidane atakuchua nafasi ya kuwa meneja na kudokeza kwamba atasalia Chelsea.(Star)
Hapo sawaMjomba yao akina wawili sio mm![]()
![]()