Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,978
We mzee unacheka nn lakini mm nimeuliza tu nijue
We mzee unacheka nn lakini mm nimeuliza tu nijue
Hahahaha, nimecheka hilo swali lako,ukipata jibu ni tag shangaziWe mzee unacheka nn lakini mm nimeuliza tu nijue









Kitambo mnooKheee makubwa mbalizi kawa lini mjomba
Hilo jibu mwenyewe nalisubiri akitokea wakujibu we niite tu
Mjomba ako kivipi yaaniKitambo mnoo
Mh we mzee mbona wanaandikaga wengine unakuja






Mh we mzee mbona wanaandikaga wengine unakuja
Usiogope akitokea wa kujibu we jitahidi uniite tu
Heri ya mwaka mpya jamani za wewe tunakumiss tu sisiNatumai wote ni wazima wa afya, dhumuni la comment hii Ni kuwasabahi..
Napita, nawapenda makapuku wenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeenh sema kweli we mzee kwahiyo wakiandika wengine unakuwa kipofuHahaha, ukiandika na wewe nakua naona vzr, na pia ukiniita we we nafurahi sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Eeeenh sema kweli we mzee kwahiyo wakiandika wengine unakuwa kipofu
We mzee ebu punguza wizi wako
Shemela we miss u soooo muchNatumai wote ni wazima wa afya, dhumuni la comment hii Ni kuwasabahi..
Napita, nawapenda makapuku wenzangu
Sent using Jamii Forums mobile app