Makapuku Forum

Makapuku Forum

Arsenal wanachunguza uwezakano wa kumsajili mchezaji wa Real Madrid na Colombia James Ridriguez kwa mkopo. Kiungo huyo mwenye umri wa miaka 27 kwa hivi sasa yuko kwa mkopo katika klabu ya Bayern Munich. (Independent)
 
Eden Hazard , 28, amesema hatojiunga na Manchester United hata iwapo Zinedine Zidane atakuchua nafasi ya kuwa meneja na kudokeza kwamba atasalia Chelsea.(Star)
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom