Madame S
JF-Expert Member
- Mar 4, 2015
- 17,177
- 34,444
nishayasahau sema tu tubakumbushana hunieHayo mapicha picha sahau mpenz
nishayasahau sema tu tubakumbushana hunieHayo mapicha picha sahau mpenz
am waiting ninekupikia chakula ukipendacho uje nikulishe kwa mkono wangu leoMi nipo salama kabsa,,btw nmekumiss hapa,,acha niwahi kuja nyumban
ukibadilika ntakukata masikio yako nikukaangie uyale na ugali mchana
nataka nimfanyie roast kabisa unaonaje..utayawekea na kachumbari au ndo utayakaanga kama kuku wa kizungu?
Mi nipo salama kabsa,,btw nmekumiss hapa,,acha niwahi kuja nyumban
Mwaliko jamani sikukuu zimekaribia
am waiting ninekupikia chakula ukipendacho uje nikulishe kwa mkono wangu leo
hahahahahahahahhaa hebu nipishe...duh, mapenzi haya shatashata sana, kwa hiyo siku nyingine huwa unamlisha kwa mguu au unamtengeaga tu ale kitovuni kushuka chini.
Kwahiyo we mzee ukija humu unakuwa kijana eenhMie ni muzee ila humu ni kijana
Makusudi gani tena hayo jamaniUmeona eeh,,shangazi huyu,,anamakusudi kumbe
Jamani humu baba wawiliNipo nae sana,,unataka kutuona na wapi tena??
Hahahahahaha umewaza mbali sanaAisee,,ni kweli nazurula peke yangu,,ingekuwa na nazurula na mtu hapo shida ipo
Sawa mamaAtanichoka haraka kisha aniache bure napenda awe huru ila usizidi
Wewe pekee ndio unayenikuna miwasho yangu yote
Baby nifanye zuzu
Simbani jamaniHa ha ha,,kwann anibane sasa??ww unambana mjomba?
ukibadilika ntakukata masikio yako nikukaangie uyale na ugali mchana







nakazia mkate