Salaam da TumosaNawasalimia jamani![]()
![]()
![]()
Mbarikiwe mnooo![]()
![]()
![]()
Ndio nilitaka kushangaa mana namuona anazurula peke yake tu
Hali yako ShunieMnanifurahisha mm na mdogo wako
Salaam mkuu
Nimesisimka sana hasa hapo kwenye miaka 1000 ya kulizunguka jua.Sayari mpya yagunduliwa ndani ya mfumo wetu wa Jua. Sayari hiyo imepewa jina la 2018 VG18 au "Farout" ipo umbali wa takribani maili bilioni 11 au sawa na mara 100 ya umbali kati ya Dunia na Jua - au umbali sawa na Voyager 2, chombo ambacho kimeingia kwenye Intersteller hivi karibuni.
Kwa sasa mengi bado hayajafahamika kuhusu sayari hiyo ambayo imegunduliwa na wanasayansi wakati walipokuwa wakitafuta sayari ya 9 maarufu kama planet X.
Farout inakadiliwa kuwa na ukubwa wa kipenyo cha kilometa 500 na inatumia miaka 1,000 kukamilisha mzunguko wake mmoja kwenye Jua.
Ugunduzi wa sayari hii umewapa matumaini wanasayansi katika kuongeza juhudi za kuipata sayari ya 9 (Planet X) na hii imeonesha bado kuna sayari zingine nyingi tu zipo kwenye mfumo wetu wa Jua zikisubiri kugunduliwa. View attachment 972835
Miongoni mwa watu maarufu waliowai kutaka ufanyike uchunguzi kuhusiana na ndege zisizotambulika - UFO ni milionea Laurence rockeffer ambaye kwa sasa ni marehemu mwaka 1993 hadi 1995 tajiri huyo alitoa kiasi cha fedha za kuanzisha na kuendesha kampeni ya kutaka serikali ya raisi bill Clinton nchini Marekan iueleze umma ukweli kuhusiana na UFO ingawa serikali hiyo ilikubaliana na matakwa hayo lakini baadaye ilielezwa kuwa uchunguzi haukubaini chanzo cha UFO.View attachment 972837
Safi sana, timu wamepewa wenyewe waseme lingine
Hali yako Shunie
Sipendi kumbana yuko huru muhimu ajue nafasi yangu kwake
Wazee niaje
Alhamdulillah, kwakweli Mwenyezi Mungu anatufanyia mengi, mengi sana.Ninakushukuru Mungu sababu ya mengi


Alhamdulillah, kwakweli Mwenyezi Mungu anatufanyia mengi, mengi sana.
Ametukuka Allah
Hata uhai huu sikustahili
Sisi ambao sio wazee baba tunajibu vipi eti
Hakika, angetaka tusingefika hapa
Hahahaha
Halafu mambo ya kuzeeshana sio poa
Tungependa tuwe na wewe hapa usiku huu.Mie napita
Mie ni muzee ila humu ni kijanaYeye kamaanisha wanaume ujue