ABJ
JF-Expert Member
- Aug 29, 2017
- 4,922
- 13,817
Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?Huwa namuona hapa jinsi anavyotusema,,ajabu leo anasema anatupenda,,kweli jiwe hatabiriki

Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?Huwa namuona hapa jinsi anavyotusema,,ajabu leo anasema anatupenda,,kweli jiwe hatabiriki

MfyuuuuJamani jamanii nawapenda mm
Hahahah kabisaaApambane na hali yake![]()
Nipo nyumbani kwangu naangalia telemundo
Hahahahha jirani masihara haya,,unanitafutia kesi mimi,,mwsho nitenguliwe bure,,,Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?![]()
Uteuzi nimeshatengua mie



Shangazi nakuletea bia unywe hadi umsahau mjomba!Jiwe ndo nini mweeNdo jiwe lakiniiii
TawileKitu kikipendwa na shangazi hakuna wa kupinga
Hapo sasaNdiwooooo nitake nn shangazi yenu mm
Pambana wewe mwanaumeMaisha magumu mtaani kila siku
Hahahahh A na B ni sawa binamu





mniwacheeeeeeee majibu mtatoa nyie wana wa Adam mm nimeomba nyimbo tu
Ebu uko acha kunigombanisha na baba wawili wangu mmMfyuuuu
Inapita kwa road binamu..telemundo ndo nini? Unaiangalia inapita kwa road au kwenye TV?
Fanya fastaNikutumie picha ya kifua changu?![]()
Hahahahah Siyo masihara jirani wewe, nani atakutengua sasa akati me niko mwenyeweHahahahha jirani masihara haya,,unanitafutia kesi mimi,,mwsho nitenguliwe bure,,,
Kwani aliyeomba wimbo wa upako wa gozbert toka kwa binamu ni nani?
?
Baba wawili wewe huyoHahahahha jirani masihara haya,,unanitafutia kesi mimi,,mwsho nitenguliwe bure,,,
Kwani aliyeomba wimbo wa upako wa gozbert toka kwa binamu ni nani?