Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?Huwa namuona hapa jinsi anavyotusema,,ajabu leo anasema anatupenda,,kweli jiwe hatabiriki
MfyuuuuJamani jamanii nawapenda mm
Hahahah kabisaaApambane na hali yake
Nikutumie picha ya kifua changu?Santeeeee
Nipo nyumbani kwangu naangalia telemundo
Hahahahha jirani masihara haya,,unanitafutia kesi mimi,,mwsho nitenguliwe bure,,,Hahahahh.... Ila jirani ebu nitoe ushamba mwenzio tena ninong'oneze ikiwezekana, jiwe ndo nani?
Shangazi nakuletea bia unywe hadi umsahau mjomba!Uteuzi nimeshatengua mie
Jiwe ndo nini mweeNdo jiwe lakiniiii
TawileKitu kikipendwa na shangazi hakuna wa kupinga
Hapo sasaNdiwooooo nitake nn shangazi yenu mm
Pambana wewe mwanaumeMaisha magumu mtaani kila siku
umeona ee...wasikupe majina ya kizee wakati bado kijana
mniwacheeeeeeee majibu mtatoa nyie wana wa Adam mm nimeomba nyimbo tuHahahahh A na B ni sawa binamu
Ebu uko acha kunigombanisha na baba wawili wangu mmMfyuuuu
Nikutumie picha ya kifua changu?
Inapita kwa road binamu..telemundo ndo nini? Unaiangalia inapita kwa road au kwenye TV?
Fanya fastaNikutumie picha ya kifua changu?
Hahahahah Siyo masihara jirani wewe, nani atakutengua sasa akati me niko mwenyeweHahahahha jirani masihara haya,,unanitafutia kesi mimi,,mwsho nitenguliwe bure,,,
Kwani aliyeomba wimbo wa upako wa gozbert toka kwa binamu ni nani?