Makapuku Forum

Makapuku Forum

H ahahhaha, mama hajambo sana, anawasalimia wote na kukupongeza wewe kwa kunikataa vinginevyo hizi zawadi anazopata kila siku asingeziona. Anakupa pole Sana.

Anko hajui na hiyo sayari mliyoko andaa kidumu, msimu wa sikukuu anko huwa kama karumekenge aliyekataa kwenda shule, usije kutulilia humu
napokea salam toka kwa mama.
Na pongezi zake kwangu si sahihi ni vyema akupongeze ww kwa ubahili ulouonyesha.

Kuhusu sayari hii na vidumu usjali we tuachie sisi na ikifika taimu ya kulia nakuja kuwalilia nyote humu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom