Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,444
Mm ntakuwa neutralRamli chonganishi mambo?![]()
ha!haaa!haaaaaaa!!!.....Ramli changanishi wewe ni kiboko!Huyu ndo alikuwa mmilikii wa jiwe ?
Kageukaa memb

Nmeulizaaa kwa mfano hai ... kama naweza kujibiwaa sio mbaya nijue kageukaa membe auha!haaa!haaaaaaa!!!.....Ramli changanishi wewe ni kiboko!![]()
Habar za hapa ndugu zangu!!
Polen na majukumu
Poleni wagonjwa wote Mungu yu pamoja nanyi,kilio chenu anakisia!
Jamani mm tena ?Wewe ni ramli chonganishi!![]()
Huyu ndo alikuwa mmilikii wa jiwe ?
Kageukaa memb
Hela inalipwa na chupa unaacha cha ubahili ww si ungeshakimbia
Kabisa!Kuna muda ulitaka kunichonganisha na shangazi yangu mpendwa!!Jamani mm tena ?
Nmemsalimia,,naona kanikaushia,,,Jiwe anakutafuta
Kama amekukaushia jiandae kutenguliwa mkuu!!Nmemsalimia,,naona kanikaushia,,,
Kwan kuna teuzi nyingine imefanyika leo?



Nmeshajiandaa kisaikolojia mkuu,,hapa nasubiri lolote litakalo kuwaKama amekukaushia jiandae kutenguliwa mkuu!!![]()




Kama amekukaushia jiandae kutenguliwa mkuu!!![]()
Nmemsalimia,,naona kanikaushia,,,
Kwan kuna teuzi nyingine imefanyika leo?
ila usihofu siku hizi kuna kupangiwa kazi nyingine ukitenguliwa!Nmeshajiandaa kisaikolojia mkuu,,hapa nasubiri lolote litakalo kuwa![]()
He heHivii badooo hujabandukaaa hapoo kwelii?
Baba wawili huyo jamaaniHahahaha
Hahahaha jiwe hatabiriki mkuuHebu tuleweni kwanza