Makapuku Forum

kama vile unanisema mimi
 
Mmh
 
Jumatatu Njema Wadau.

Nilikuwa na wikend nzui, asanteni kwa kutouliza ila najiaminisha kuwa kila mmoja alikuwa na wikend ya tofauti na yangu.
Jtatu siulizi kama Kuna Jipya.

Salamu nyingi sana tokea Nangao naelekea Masasi, nikifika nitawaambia
 
Wewe hutaki faraja umeshazoea kuumizwa mm nakuonea huruma tu mwanaume wako ana wadada wawili anawaita my mbona mm haniiti my nakuonea huruma ndg yangu unavyoteseka mwenyewe hujionei

...kama hakuiti my basi wee muite, usikonde roho bure
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…