kama vile unanisema mimiWivu umesababisha watu wasiwe na amani na mahusiano yao. Wivu umesababisha watu wawe na hasira, ghadhabu na uchungu, wakati mwingi, kwa mambo yasiyokuwepo. Wapo waliofikia kugombana na watu wasiohusika kwa sababu tu wanahisi kuingiliwa kwenye mahusiano. Wivu si hisia zinazoweza kuleta faida hata kama wengi tumekuwa tukiamini hivyo.
MmhMalezi ndio msingi wa kutokujiamini. Si kazi nyepesi kwa mwenzi aliyekuzwa bila kujiamini kujisikia salama nafsini. Hajiamini na hawaamini wengine. Na hii hujidhihirisha sana kwa watoto wa miaka kati ya mwili na sita. Kwa sababu bado wanakuwa hawajajifunza kushindana, watoto wa umri huu huwa ni wepesi kujisikia kutishwa, threatened mzazi anapomsifia au kumwonesha upendo mtoto mwingine.
Hahahahaha
Mjomba unantsha sasa
Hata hujakosea uko sahihi kabisa kaz kwake
WoyooooooooAsante kwa kunielewa bibie,upo sehemu salama hapa wala usiwe na hofu
Comfortable zaidi ya hapo tena jamanii huyo hana msururuhofu lazima haiepukiki mpaka nitakapokua comfortable na ww
Wouzeeeerrr wouzeeerPole pole utakuwa comfortable tu,,hata mbuyu ulianza kama mchicha
EiiishShangazi hapa naongea na jiwe!
WoyoooooooooTuko njia moja, naona unakunywa helto we nyumbani au?
Asiye na babe abebe geishaJiwe yupo busy na teuzi kama kawa!!
Khaaaaaaaatwende tukayaongelee nyumban
Wewe hutaki faraja umeshazoea kuumizwa mm nakuonea huruma tu mwanaume wako ana wadada wawili anawaita my mbona mm haniiti my nakuonea huruma ndg yangu unavyoteseka mwenyewe hujioneiTobaaa na wewe kakutafutia
Madogo yana kwao babeKhaaa makubwa haya
Acha wivuuuuu apambane na hali yake huyo
Hapa hapa Shangazi.Hata sijui naanzia wapi shangazi mm nimewamiss tu
Wewe hutaki faraja umeshazoea kuumizwa mm nakuonea huruma tu mwanaume wako ana wadada wawili anawaita my mbona mm haniiti my nakuonea huruma ndg yangu unavyoteseka mwenyewe hujionei
..Maria, hujambo beibe!! nna zawadi yako spesho, nikifika napoenda nitakuelekeza uende stand ya basi ukaipokeeHapa hapa Shangazi.
Tumekumiss pia mama..kwani mjomba anabana sana.?