Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 43,251
- 90,445
HahahahaHahahaha
Tatzo jiwe hatabiriki mkuu
Nahofia kusema hapa acha nikae kimya
HahahahaHahahaha
Tatzo jiwe hatabiriki mkuu
kumbe ndio lilikua lengo la huu uzi?Habari wana JF
Habari Makapuku wenzangu
Matumaini yangu wote mko poa kabisa.
Uzi huu ni kwaajili ya makapuku wote. Lengo ni kujadili changamoto zinazotukabili, pia Kupeana support katika mambo yetu hapa JF. Tupeane mbinu za kukabiliana na mambo yote humu.
Makapuku natumaini nyote tutashirikiana katika jambo hapa JF. Bila kumsahau founder wa makapuku Bitoz shukrani kwake
Karibu sana makapuku katika mjadala. Wengine nitawaongeza hapo baadae.
Karibu sana
Bitoz
JF Makapuku Founder
Jimena
JF Makapuku assistant Founder
Th Name JF Makapuku assistant Founder
Kwema binti??habar za jpl
Anko hajambo??

Kwani mke wa Anko unamwitaje. ,?Ndio dua yako hiyo.?Nasikia leo weekend jiwe yupo kwenye ulabu akirudi hapa ni mwendo wa kutengua teuzi tuuuuu!!![]()
ukija utaona nilichopika banaKweli bibie,,,njaa
Umeanda chakula gan
Nasikia leo weekend jiwe yupo kwenye ulabu akirudi hapa ni mwendo wa kutengua teuzi tuuuuu!!![]()



akitengua itakuwa ni zile teuzi za zamani,hz mpya mpya bado sana mkuuHahahahahaHahahaha
Nahofia kusema hapa acha nikae kimya
Wanakuja kua na subiramsaada makapuku wenzangu![]()
![]()
![]()
Shangazi hahahaKwani mke wa Anko unamwitaje. ,?
Sijambo mimi alhamndulillah Anko mzima wa afya(anaoga)
Hbr ya wikiendi,familia na wengineo. ?
nnakusubiriaNakuja bibie![]()
Wewe ni mpya au ni ya zamani mkuu?akitengua itakuwa ni zile teuzi za zamani,hz mpya mpya bado sana mkuu
Raha tupu yani, Shangazi Maryam alafu unamalizia na shkamooShangazi hahaha
Hawajambo pia,wapo tu


sawa my,nipo njianinnakusubiria
mpyaaaWewe ni mpya au ni ya zamani mkuu?
@Lyon Lee. Bby unaitwa na na jirani Behaviourist