Makapuku Forum

Makapuku Forum

Habari za Jpili wadau wema wa Makapuku Forum. Natumaini mmekuwa na wikend njema, mimi sijambo asanteni kwa kutoniuliza khali yangu.

Nilikuwa na mama yenu tangu asubuhi, tulikuwa kanisani kwenye maombi ya mnyororo, ndo nimerudi sasa. Kuna jipya?
Mama yenu anawasalimia

ABJ karibu sana binamu, pole na uchovu wa honeymoon yako.

marybaby nimekumiss sana
Aisee!
 
...anko hii kampeni ninayopigwa kweli umekaa kimya hata kunitetea ndugu yako hakuna? Watu wamechafua sana jina langu yaani ina maana humu ndani hata ndugu zangu hamnitaki? Nitamtegemea nani sasa kunitetea kama sio wewe na aunt yangu? ningendako kanitosa mchana kabisa, Shunie ndo kawa wa kwanza kunifanyia fitna
Hahahaa binamu,,umechanganya madesa
 
...hapana binamu, sijachanganya madesa, yaani kila nikikuangalia kwa jicho la tatu naona kama una agenda ya siri na una maslahi yaliyojificha kwa marybaby , jamani niachieni huyu mrembo, kuna kuzeeka mjue na mafao yamepunguzwa
Hahahaha hapana binamu,wala sina agenda ya siri,,mwenyew umeona jinsi nilivyokupigania na dada angu Tumosa
Siku zote tupo hapa kumbe husemi kama upo honeymoon na ABJ had yy leo ndio amesema,,huon kuwa ww ndio una agenda ya siri
 
Hahahaha hapana binamu,wala sina agenda ya siri,,mwenyew umeona jinsi nilivyokupigania na dada angu Tumosa
Siku zote tupo hapa kumbe husemi kama upo honeymoon na ABJ had yy leo ndio amesema,,huon kuwa ww ndio una agenda ya siri

ha ahahaa, habri za honeymoon ni kama mambo ya chumbani, mimi kwa kweli ni Tumosa tu ndo namuamini, tuliwahi kushonesha sare kwenda kigamboni ila safari nikapigwa fina nikapigwa kibuti.
Ujue nini, nilipoona mmenilipia english course niliamini mnania njema na mimi kumbe hamkutaka niwe karibu.

Shwari lakini mdau
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Shunie Mondray anakusalimiaa alongside Tumosa
Rayvanny (Raymond) - Furaha.jpg
 
Jtatu njema wadau na FYI hili ndo juma la mwisho kabla hatujauanza mwezi wa kina Noel na Noela huku nyimbo za Baba Gaston zikitamba.

Nawapenda wadau wa Jukwaa hili na ninyi ni sababu tosha kuwaita ndugu/marafiki ambao hatujakutana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom