Lee
JF-Expert Member
- Jul 31, 2013
- 44,001
- 150,526
Naheshimuu uwepo wake ndo mpenda maendeleo yangu niliyebaki naeMfanya teuzi ni shangazi!
Naheshimuu uwepo wake ndo mpenda maendeleo yangu niliyebaki naeMfanya teuzi ni shangazi!
Mfanya teuzi ni shangazi!
Subirii kwanza marybaby wangu anipee kopaa...anko si utulie na wizara moja jameni?
Wengine, hasa mimi ninafaa kuwa waziri asiye na wizara maalum, niwe nahamahama kama mfugaji wa kinyantuzu na kuhakiki ubora wa mazingira nyevunyevu, nikiona ukame tu naenda kwenye unyevunyevu
Salama kabisa..Habari za Jpili wadau wema wa Makapuku Forum. Natumaini mmekuwa na wikend njema, mimi sijambo asanteni kwa kutoniuliza khali yangu.
Nilikuwa na mama yenu tangu asubuhi, tulikuwa kanisani kwenye maombi ya mnyororo, ndo nimerudi sasa. Kuna jipya?
Mama yenu anawasalimia
ABJ karibu sana binamu, pole na uchovu wa honeymoon yako.
marybaby nimekumiss sana



...za leo?
Mimi naitwa Jovitha, wewe ni nani mwenzangu?Habari zenyu wadau
Mimi naitwa Jovitha, wewe ni nani mwenzangu?
ohhh!!Basi sawa!!Behaviourist
ohhh!!Basi sawa!!
Kumbeeeeeee
Salama kabisa mpendwa za were?