Makapuku Forum

Makapuku Forum

Polee ila pambana....
Abj kaja hanitakii tena kisa umetoka naye honeymoon ...nikasema ni binamu wangu bahati nzur penz lake likatua mikononi mwa anko wangu mm hapa ...
...anko hii kampeni ninayopigwa kweli umekaa kimya hata kunitetea ndugu yako hakuna? Watu wamechafua sana jina langu yaani ina maana humu ndani hata ndugu zangu hamnitaki? Nitamtegemea nani sasa kunitetea kama sio wewe na aunt yangu? ningendako kanitosa mchana kabisa, Shunie ndo kawa wa kwanza kunifanyia fitna
 
Mkuu una taarifa kuwa yamefanyika mabadiliko madogo katika baraza la mawaziri na wewe ni mhanga mkubwa sana kwenye mabadiliko hayo?

Nimeona hayo mabadiliko na niliyategemea sana, maana tangu nitangaze kuuza korosho basi imekuwa tabu kwa watu wa karibu yangu. Kifupi, ninachonganishwa sana.

Nitatoa tamko, nitaita waandishi wa habari wiki hii nitoe msimamo, ninaweza kurudisha kadi ya chama nikarudi chama changu kilichonilea, kifupi, nitaunga mkono juhudi
 
Nimeona hayo mabadiliko na niliyategemea sana, maana tangu nitangaze kuuza korosho basi imekuwa tabu kwa watu wa karibu yangu. Kifupi, ninachonganishwa sana.

Nitatoa tamko, nitaita waandishi wa habari wiki hii nitoe msimamo, ninaweza kurudisha kadi ya chama nikarudi chama changu kilichonilea, kifupi, nitaunga mkono juhudi
Abj kashapaa na hearly sijuiii
 
Nimeona hayo mabadiliko na niliyategemea sana, maana tangu nitangaze kuuza korosho basi imekuwa tabu kwa watu wa karibu yangu. Kifupi, ninachonganishwa sana.

Nitatoa tamko, nitaita waandishi wa habari wiki hii nitoe msimamo, ninaweza kurudisha kadi ya chama nikarudi chama changu kilichonilea, kifupi, nitaunga mkono juhudi
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Polee ila pambana....
Abj kaja hanitakii tena kisa umetoka naye honeymoon ...nikasema ni binamu wangu bahati nzur penz lake likatua mikononi mwa anko wangu mm hapa ...

...aisee, hivi namba ya yule mganga wa instagram bado unayo? Naona dalili za kumshusha mtu kibusha (na sitajali kama ni ke au me, kibusha hakichagui)
 
  • Thanks
Reactions: Lee
Nilifomatiiii simuu
...aisee, hivi namba ya yule mganga wa instagram bado unayo? Naona dalili za kumshusha mtu kibusha (na sitajali kama ni ke au me, kibusha hakichagui)
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Tunahitajianaaa ....baraza lishapitishwaa na kazi zimeanza mara moja

...anko si utulie na wizara moja jameni?
Wengine, hasa mimi ninafaa kuwa waziri asiye na wizara maalum, niwe nahamahama kama mfugaji wa kinyantuzu na kuhakiki ubora wa mazingira nyevunyevu, nikiona ukame tu naenda kwenye unyevunyevu
 
  • Thanks
Reactions: Lee

Similar Discussions

Back
Top Bottom