Makapuku Forum

Makapuku Forum

Usi qoute tena maana nitaamka.

Umenikumbusha watu tunapoanza ku date...

Ile we na mpenzi wako mnasindikizana....wewe nakusindikiza....halafu tukifika karibu na kwenu tunageuza unanisindikiza.

Tukifika karibu na napoishi tunageuza tena naanza kukusindikiza....basi tunaenda hivyo hadi tunachoka!

Mapenzi bana....
 
Hahahaaa haya bhanaaa usiku mwema
Umenikumbusha watu tunapoanza ku date...

Ile we na mpenzi wako mnasindikizana....wewe nakusindikiza....halafu tukifika karibu na kwenu tunageuza unanisindikiza.

Tukifika karibu na napoishi tunageuza tena naanza kukusindikiza....basi tunaenda hivyo hadi tunachoka!

Mapenzi bana....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom