Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
Na ubahili wake ataanzaje
Na ubahili wake ataanzaje
Hiyo salam kuna kitu wataka ninyima



dah,sikutegemea hili swali
Hahahhahah ukiipata ukatambike yaani naona una matumaini nazo sanaShangazi roho yanienda mbio mie na mihela
Mfyuuuuu zenuAnalikataaje kwa mfano
Ngoja akujeee@Tumosa thibitisha
Alafu hawa si ndio waliowapiga watu juzi. ?
Jamani hata nikikataa bado naitwa tu baba wawiliAngalia hapo,,,kajiita mwenyew kuwa ni shangazi yao mtu
dah,sikutegemea hili swali
usiogope
Hahaha usinikumbushe ujue nilibet taifa stars wakanichania mkeka wanguAlafu hawa si ndio waliowapiga watu juzi. ?
Dodoma pia marufuku. ?
We baba jamani ebu acha kunijaza
Hahahahhaha yaani nacheka mm
Feki kwa maana ipi.?
Na huzikwa akiwa hivyo au kuna mbadala
Shikamoo binamu...khali yangu sasa imekuwa nzuri maana nimekuona Jukwaani, yaani ulipopotezwa wikend niliumwa hadi wakataka kunipeleka kwa mganga tiba mbadala, nilikuwa sili, silali nakuwaza wewe. Hebu nihurumie, ukitaka kupotea humu ita matarumbeta uniage.
Missed you na niko happy kukuona
Miss u too brother akina anti hawajamboMarhaba dada angu,
Habari za uzima??
Miss you Tumosa.
kakamatika