Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,374
- 38,248
Kabisa Mkuu! U busy tu! Nabangua Korosho!
Uko poa lakini ?
Uko poa lakini ?
Hapa ss mie



Mbuzii wanakunywaaa novida kwelii ?Kabisa Mkuu! U busy tu! Nabangua Korosho!
We baba jamani ebu acha kunijazaHahahaha, hakuna hata mmoja ,kuwa na aman ,tuko pamoja
Muda si mrefu je wajua inakujaMagazeti na Je wajua.
Hatujambo,tumekumiss pia Shangazi![]()
Sitakiiiii hivi mnataka kunifukuza eenhShkamoo Shangazi![]()
Ajibu uko anataka huku na hukuMaswali ya uchochezi haya![]()
Umempita mpaka snuraZaidi ya yule wa snura eti.?
Hakudanganyiii jamaniKwamba uchinani hakudanganyi, ?![]()
Mm zaidi jamaniNilikumiss tuu mimi
HahahhahahaahUpo juu huko anazingitia vigezo na masharti
Nani aokote mm unitoe kwenye kuyaokotaTuyaokote ss![]()
Hahaha hayo maneno umeyajulia wapiiiMungu mmoja Shangazi
Kwema jamani kwani nimekoseaMamaaaaaaShangazi kwema??
Miss u mnooo baba wawili jamani
Kwani hela za korosho ndo basi tena.?Kwema jamani kwani nimekosea