Makapuku Forum

Makapuku Forum

Nashukuru Mungu mie wa afya kbs,hofu kwa wanajukwaa popote walipo na hali zao.

...khali yangu sasa imekuwa nzuri maana nimekuona Jukwaani, yaani ulipopotezwa wikend niliumwa hadi wakataka kunipeleka kwa mganga tiba mbadala, nilikuwa sili, silali nakuwaza wewe. Hebu nihurumie, ukitaka kupotea humu ita matarumbeta uniage.

Missed you na niko happy kukuona
 
...khali yangu sasa imekuwa nzuri maana nimekuona Jukwaani, yaani ulipopotezwa wikend niliumwa hadi wakataka kunipeleka kwa mganga tiba mbadala, nilikuwa sili, silali nakuwaza wewe. Hebu nihurumie, ukitaka kupotea humu ita matarumbeta uniage.

Missed you na niko happy kukuona
hayo mambo ya nikinywa maji nakuona kwenye glass bhn mi staki..
Miss u more na ubahili wako
 
....wewe utakuwa upande wa mgeni rasmi maana nakupenda na kwa kuwa nasubiri dola ziruhusiwe weewe ndo utahusika kuhesabu si unajua kizungu!? Dola haihesabiwi kiswahili kama shilingi
Hahahaa..aisee unajua hata bibi alikua kijana zamani.?
Au ndio mambo ya kipya kinyemi??
Kuhusu kuhesabu dolari ntahesabu kilugha ondoa shaka,,najibebisha km mtt wa paka
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom