Tumosa
JF-Expert Member
- Jul 21, 2016
- 16,527
- 52,623
Tunaanza tunamshukuru mungu mola wa ulimwengu wote.
Tunamshukur mungu kwa kutujaalia kuiona siku ya leo na pia kutujaalia afya njema.
Tunamuomba mungu aturahisishie mambo yetu na atujaalie tue miongoni mwa waja wake wema.
Amin Amin.
Amina
Binam yake bby




