Baba wawili huyooo na watoto wake wa kudownloadKwema ndugu zangu?
AmeeenTunaanza tunamshukuru mungu mola wa ulimwengu wote.
Tunamshukur mungu kwa kutujaalia kuiona siku ya leo na pia kutujaalia afya njema.
Tunamuomba mungu aturahisishie mambo yetu na atujaalie tue miongoni mwa waja wake wema.
Amin Amin.
KhaaaaAamin yarabil Alaamin. Shukran
Tumeshapewa taarifa ukoo mzima,hapa tunamsubiria afike
Hii ilikuwa jana baada ya kupata taarifa kuwa binamu Obe yupo njiani anakuja
View attachment 941182
Huku kheri,umemsikia Binam yako eenh .?anahitaji mapokezi ya kiutawala






Aunt yako gani huyo binamuNamuona aunt yangu hapo kapigilia mparo wa ushungi utasema yuko kwenye kampeni za CCM
Ha ahahahhahah
Hahahahhashangazi anafuraha sana,,toka hz habar tuzipate kuwa tayali umeshaenda biyulodechenji,,huku ni sherehe kila siku
Niko hapa niambie mzima ww
Mashalaah,moyo umefarijika kuona uwepo wako




we mzee ebu uko waone wabebez wako wajue unanikula waninunie ugomvi siwezi mm
HahahahahahHahahaha, ahsante kwa kunivumilia mamii
we mzee ebu uko waone wabebez wako wajue unanikula waninunie ugomvi siwezi mm
Tutakosa hata nauli ya kwenda kurekebisha chura akianza kuzingua!Anko amepatikana!!

tusaidiane maumivuMagazeti na Je wajua.Wazima nimewamiss tu mm

Maswali ya uchochezi hayaKwani Dada bado unampenda
