Makapuku Forum

Makapuku Forum

Wakati tunamemaliza kumsikia gavana akieleza kuwa tuna fedha za kigeni za kutufanya tuwe salama kwa kipindi kirefu sana kama taifa, yaani tuko sawa kwa miezi mitano. Akili tumbo za profesa na kwa kuwa akili zako wewe kapuku unazipa kazi basi nakuacha na burudani hii ya muziki.

 
...pole anko, hili sakata la forex unadhani linaiweka biashara yako mahali gani?
Anko binamu ukipitaa ukakutaa nimewekaa tigo pesa na mpesa plus uwakala wa benk usinishangaee mtakuwa mnabadilishaa kimya kimya ninaowajuaa

Ila anko hali mbaya tusidanganyanee ...washirika wangu wote wamerudiii kwaoo
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Anko binamu ukipitaa ukakutaa nimewekaa tigo pesa na mpesa plus uwakala wa benk usinishangaee mtakuwa mnabadilishaa kimya kimya ninaowajuaa

Ila anko hali mbaya tusidanganyanee ...washirika wangu wote wamerudiii kwaoo

...ndicho wanachoelekea kufanya wafanyabiashara sasa, maana dola na exchange zote zitafanyika gizani maana mchana hazitapatikana na zikipatikana ni za kuruka, mwenye kimini hathubuti kuchana msamba.

Nakuelewa sana, mdau wangu wa karibu mambo ni balaa, na alikuwa na mkopo sasa, inakuwa ngumu kurudisha mkopo ukizingatia mlaji uwezo wake wa kununua umekuwa chini sana.

Naihurumia biashara yako ila pia nakupongeza kutawanya mtaji (diversification) vinginevyo huyu jamaa yangu aliweka mtaji wote sehemu moja, na imekuwa ni kama kucheza kamari
 
  • Thanks
Reactions: Lee
...ndicho wanachoelekea kufanya wafanyabiashara sasa, maana dola na exchange zote zitafanyika gizani maana mchana hazitapatikana na zikipatikana ni za kuruka, mwenye kimini hathubuti kuchana msamba.

Nakuelewa sana, mdau wangu wa karibu mambo ni balaa, na alikuwa na mkopo sasa, inakuwa ngumu kurudisha mkopo ukizingatia mlaji uwezo wake wa kununua umekuwa chini sana.

Naihurumia biashara yako ila pia nakupongeza kutawanya mtaji (diversification) vinginevyo huyu jamaa yangu aliweka mtaji wote sehemu moja, na imekuwa ni kama kucheza kamari
Ankoo hapo kwenye mkopoo shida tupu mtu anauzaa vitu vya thamani kwa hasara haijawahii kutokeaa ...

Leo nilienda kumdaii mtu wangu make deni limekaa coz nilisupply materials kwake ni mtu mzito kidogo nimekuta majamaa ya benk yamemtembelea marejesho bado imebidii nijifanye nilipita kumtembeleaa bhasiii ...watu wanaongea wenyewe barabaran
 
  • Thanks
Reactions: Obe
Ankoo hapo kwenye mkopoo shida tupu mtu anauzaa vitu vya thamani kwa hasara haijawahii kutokeaa ...

Leo nilienda kumdaii mtu wangu make deni limekaa coz nilisupply materials kwake ni mtu mzito kidogo nimekuta majamaa ya benk yamemtembelea marejesho bado imebidii nijifanye nilipita kumtembeleaa bhasiii ...watu wanaongea wenyewe barabaran

...inauma sana, bank zinachaji riba kiunyang'anyi kabisa, haziko kwa ajili ya kumsaidia mtu/mfanyabiashara zikko kwa ajili ya kutoa gawio kwa serikali na aserikali inalifurahia gawio ambalo limewaaacha wananchi wameumizwa maana biashara haikutoka, wateja hawanunui ipasavyo.

Tulianza kuwa na utamaduni wa kuwaunga wajasiliamali wa chakula, lakini kwa hali ilivyo mtu anaamua kupika tu nyumbani.

Ulifanya vema kujifanya unapita ili urudi wakati mwingine
 
  • Thanks
Reactions: Lee
...inauma sana, bank zinachaji riba kiunyang'anyi kabisa, haziko kwa ajili ya kumsaidia mtu/mfanyabiashara zikko kwa ajili ya kutoa gawio kwa serikali na aserikali inalifurahia gawio ambalo limewaaacha wananchi wameumizwa maana biashara haikutoka, wateja hawanunui ipasavyo.

Tulianza kuwa na utamaduni wa kuwaunga wajasiliamali wa chakula, lakini kwa hali ilivyo mtu anaamua kupika tu nyumbani.

Ulifanya vema kujifanya unapita ili urudi wakati mwingine
Binamu wewe acha ..mambo si mambo wazee wa kazi wanazunguka kila kona ...ukiuzaa shida make returns zao watatufunga
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom