Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mamia ya wanawake nchini Iran wameruhusiwa kuhudhuria mechi ya fainali ya ligi ya mabingwa barani Asia mjini Tehran.

Hatua hii inaonekana kama uwezekano wa kufikisha mwisho zaidi ya miaka 35 ya kutengwa wanawake kutoka mechi muhimu za kandanda.

Walitazama timu ya nyumbani Persepolis ikishindwa na timu ya Japan Kashima Antlers.View attachment 930642
Hii maana ya mwanamke kuwekwa nyuma km mkia siielewagi kbs kwa mataifa hayo
 
@Shunie huyu tajiri wa kumwaga noti ndo kati ya wale watakaobebewa bidhaa yao na magari ya naniliu. ?


.....yeah, ndo mimi, subiri ifike saa kumi jioni anko magu afanye kutujaza mahela, tutakuwa kama John Cheyo mzee wa mapesa yaani njoronjoro, makuta, fweza.

Andaa bajeti, nina fungu lako, ukiona gari la jeshi lisimamishe waambie unakuja Mtwara watakubeba frii
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom