Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,077
- 464,004
....mwendo wa mapacha tu huku, utafurahia ukinipata mimi, kila mtu atakushangaa sana




wapiii baba wawili cc ningendako
....mwendo wa mapacha tu huku, utafurahia ukinipata mimi, kila mtu atakushangaa sana




wapiii baba wawili cc ningendako
Mpira dk 90Shunie wangu bia utazikomboa kwelii?
Acha tu nipo mzima leoShunie kula beer mama...
Umeona dak ya 11 tumeshaliwa kimoko
Na we mzee wa kavu kama binamu yako eenh
Hutaki beer..?Acha tu nipo mzima leo
Zimeisha ndani nilimaliza janaHutaki beer..?
Shunie kula beer mama...
Umeona dak ya 11 tumeshaliwa kimoko
Bora aiseeeAsernal nao wamefokonyolewa huko tayari
Beer zanguKaziiii ipo
Kwani dukani hazipo..?Zimeisha ndani nilimaliza jana
Mpe beer alewe umuokoe na gonjwa la mshtuko..![]()
Ila mimi niko vizuri kisaikolojia..!Kabisaaa make hii 87% possession sijaielewaa