vnn
JF-Expert Member
- Oct 6, 2015
- 3,030
- 7,497
Sindio nashangaa me hata sijakutongozaKufanikiwaje tena kwani we mkuu unanitongoza
Nilikukaribisha tu kushiriki chakula cha jioni kama maandiko yasemavyo mpende jirani yako kama nafsi yako
Sindio nashangaa me hata sijakutongozaKufanikiwaje tena kwani we mkuu unanitongoza
Yupo busy na mtongozo tu
Mwanaume huwa halalamiki we umekuta watu waquote uone kama hawatakujibu shinda humu siku nzima uone raha yake
Wacha atongoze akaoshe rungu..Yupo busy na mtongozo tu
Sio mm tu mquote yeyote unayejisikia kuchat nae prince uwe na amani zoteKila siku ntakuwa nakuquote wewe
Domo zege hela kutoa bahili pambana na hali yakoNipo busy na soka hapa.
Mtongozo wewe unanibania, unanijua kabisa mpwao mimi domozege afu unaniacha naongea hadi nakonda
Sawa mkuuSindio nashangaa me hata sijakutongoza
Nilikukaribisha tu kushiriki chakula cha jioni kama maandiko yasemavyo mpende jirani yako kama nafsi yako
Kijiwe kipi hikoNpo kijiweni
Domo zege hela kutoa bahili pambana na hali yako
KONKI?Sana tuuuu, mtu akizingua hatuchelewi kum![]()
![]()
![]()
![]()
Shikamoo tenaTumosa, post: 29154595, member: 376902
hahaha acha kwanza nicheke kabla sijapokea salami yako
Mara hyomarybaby, post: 29155912, member: 427932
hahaha embu njo tuyajenge uku pm

Ndo alifungiwa bunju nn?Hatimae umeachiwa![]()
Na mama mchungajii wakee anakutafutaa jipangee kukatwaa ngembeee
ww ndo mbaya wa binamu