marybaby
JF-Expert Member
- Apr 11, 2017
- 3,260
- 9,197
Shkamoo. .....ha ahahhaa haha, si mchezo aisee
Shkamoo. .....ha ahahhaa haha, si mchezo aisee
Kuelekea Jumapili nakuburudisha kwa muziki mzuri kwa sababu wewe ni mtu mzuri unayelifanya jukwaa hili kuwa sehemu nzuri kuwepo.
Mapumziko mema na maandalizi mema kwa mnaoabudu

Niletee bill leoHahahha
Kwa kukutetea binamu siwezi mm

Lbd unakatiza mida ya watu wametekwaKila siku nakatiza humu hata sibahatiki wa kuchati nae

Maelekezo tenaJukwaa huru hili, unachati na yeyote aliyehewani (online) huwa kuna mada tofauti na unaweza kuanzisha yako na ukapata wengi tu wa kuchati nao kuhusu mada. ila kama unamaanisha chat binafsi, huwa nasikia kuna kitu wanaita PM waweza kitumia
Ni njema mummy..Habari ya asubuhi ndugu zangu
Muwe na jumapili njema n ibada njema pia![]()
![]()

Nipo nae Bunju tangu ijumaa tunakunywa mvinyo wa kimataifa we mtoto endelea kupiga deki na kuosha vyomboShunie wapi magazeti na Je wajua.?
Nipo nae Bunju tangu ijumaa tunakunywa mvinyo wa kimataifa we mtoto endelea kupiga deki na kuosha vyombo
sawa BABA,lkn mayai na mkate vimeisha mwambie mama atume pesa

Shikamoo mkuuTumosa, post: 29149254, member: 376902
mhuuu
Hbr yako binamuAcha twende sawa
Kwakweli sijajua kbs vile ametuchanganyia habari..
mvumilie ndo alivo binamu yetuHakikaKimya nacho ni jibu
Jirani haoni wa kuchati nae jmn