Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mpk hapo jibu mubashara..
Yupo bize na totoz baada ya kubebewa korosho na gari za wale wazee
Huyo ndo anko binamu mtoto wa dada Obe jana ilikuwa zamu ya cheusi ila mambo yakaingiliana akaijikutaa yupo kwa kimodoo wake mm alinidipuuu usiku sana nimtumie buku 4 za bodabodaa...wkend yake ilikuwa nzuriiii

Korosho na hapo hajauzaa akiuzaa atakununuliaa furu sana
 
Huyo ndo anko binamu mtoto wa dada Obe jana ilikuwa zamu ya cheusi ila mambo yakaingiliana akaijikutaa yupo kwa kimodoo wake mm alinidipuuu usiku sana nimtumie buku 4 za bodabodaa...wkend yake ilikuwa nzuriiii

Korosho na hapo hajauzaa akiuzaa atakununuliaa furu sana
..ndio maana akasema niende kwa nauli yangu atanipa ya kurudia Shunie hatimae Anko wake amenipa faraja
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom