Makapuku Forum

Makapuku Forum

Mpk hapo jibu mubashara..
Yupo bize na totoz baada ya kubebewa korosho na gari za wale wazee[emoji4]
Huyo ndo anko binamu mtoto wa dada Obe jana ilikuwa zamu ya cheusi ila mambo yakaingiliana akaijikutaa yupo kwa kimodoo wake mm alinidipuuu usiku sana nimtumie buku 4 za bodabodaa...wkend yake ilikuwa nzuriiii

Korosho na hapo hajauzaa akiuzaa atakununuliaa furu sana
 
Huyo ndo anko binamu mtoto wa dada Obe jana ilikuwa zamu ya cheusi ila mambo yakaingiliana akaijikutaa yupo kwa kimodoo wake mm alinidipuuu usiku sana nimtumie buku 4 za bodabodaa...wkend yake ilikuwa nzuriiii

Korosho na hapo hajauzaa akiuzaa atakununuliaa furu sana
[emoji30] [emoji30] [emoji30]..ndio maana akasema niende kwa nauli yangu atanipa ya kurudia Shunie hatimae Anko wake amenipa faraja [emoji18] [emoji18]
 
Hapo kweliii kwakoo kafa kaozaaa anko ...binamu wangu mtoto wa dada akupee nauliii kweliiii Obe umependaa kweli
[emoji30] [emoji30] [emoji30]..ndio maana akasema niende kwa nauli yangu atanipa ya kurudia Shunie hatimae Anko wake amenipa faraja [emoji18] [emoji18]
 
Back
Top Bottom