Makapuku Forum

Makapuku Forum

Asante Shunie kwa magazeti. Sasa leo niko hapa mapema, namtaka Behaviourist afute kauli yake kuwa nakujaga saa nane usiku.

Leo mapemaaaaa, nimemaliza kupasha kiporo nikaenda jogging afu nikawa kwenye chama langu la maveterani tumepiga soka sasa hivi maveterani tunakula supu bia na chapati kulea vitambi
 
....waaache tu anko, hawa kule Rufiji ambako almanusra ufungwe kwa kuoa mtoto wa shule wanaitwa wazee wa fitna.

Natumaini umeamka salama anko
Binamu ujuee siku hizi tokea malkia arudiiii sipendii fitina zako ....

Niko salama kwa sasa dawa za presha na sukari tunakaa nazo karibu make huu mwisho wa mwaka walahiii kwelii anko kamba kakazaa
 
Asante Shunie kwa magazeti. Sasa leo niko hapa mapema, namtaka Behaviourist afute kauli yake kuwa nakujaga saa nane usiku.

Leo mapemaaaaa, nimemaliza kupasha kiporo nikaenda jogging afu nikawa kwenye chama langu la maveterani tumepiga soka sasa hivi maveterani tunakula supu bia na chapati kulea vitambi
Leo kaziii mwanahawa anayoo
 
Binamu ujuee siku hizi tokea malkia arudiiii sipendii fitina zako ....

Niko salama kwa sasa dawa za presha na sukari tunakaa nazo karibu make huu mwisho wa mwaka walahiii kwelii anko kamba kakazaa

..duh,acha mjomba yaani na Krismas ndo inakaribia sasa, ila ndo uzuri wa kuwa nyani mzee, tunajua namna ya kukwepa mishale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom