Obe
Platinum Member
- Dec 31, 2007
- 10,287
- 35,678
MNAONGELEA NINI
...mimi mwenyewe ndo nimefika, sijui. Kwani umekuja na Jipya?
MNAONGELEA NINI
Unalilaliaje jamani
Magazeti umeyaona binamu
...sijayaona ndugu yangu, si unajua nachelewaga nakuwa wa mwisho ila nimeona Je Wajua tu? Ukiyaweka usiwe unasahau kunitag inasaidia maana msimu wa korosho nachelewa kusoma asubuhi
Haya hapa binamu anzia hapo
Eeeenh kumbe na kunyonya dushe je binamu inakuwaje
Halafu unajua unavyonivuruga nq kunitajia korosho...sijayaona ndugu yangu, si unajua nachelewaga nakuwa wa mwisho ila nimeona Je Wajua tu? Ukiyaweka usiwe unasahau kunitag inasaidia maana msimu wa korosho nachelewa kusoma asubuhi
Unataka kufunga unasumbuliwa auPm inafungwa je shunie?
...niliwahi kumuuliza Mwanahuba mchomachapati akasema huwa inasaidia mwanamke kuwa na sauti nyororo isiyokwaruza, sikumbishia nikampa anachotaka atengeneze sauti








Nakutingishaje mm sasaMbona kama unataka kunitingisha?
Aisee nisipofanya hivi kitambi kitakuja kwa sanaa. Halafu kitambi cha uzeeni ni kibaya sanaaaaAnko kumbe we mtu mzima kijana
Kama ulivyofanya..Nakutingishaje mm sasa
Nitumie majina yao kwanza wanaokusumbua halafu nikuelekeze kufunga kwani lazima uwajibu waacheNdio...
Nataka nifunge.
MhKama ulivyofanya..
Kwahiyo una six packs anko eenhAisee nisipofanya hivi kitambi kitakuja kwa sanaa. Halafu kitambi cha uzeeni ni kibaya sanaaaa
Inakuwa too much sasa!Nitumie majina yao kwanza wanaokusumbua halafu nikuelekeze kufunga kwani lazima uwajibu waache
Nikutumie majina yao ili uwafanyeje?Nitumie majina yao kwanza wanaokusumbua halafu nikuelekeze kufunga kwani lazima uwajibu waache
Niwaulize kwa nn wanamsumbua shemeji yangu mm pm sasa hivi ipo wazi nasijibu mtu nisiyemuelewaNikutumie majina yao ili uwafanyeje?
Wengine sijui wanabadili ID ...
Eeh mpwa ila inabidi nizikaze kuzuia ghasia za uzeeni.Kwahiyo una six packs anko eenh