Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,729
Kuanzia leo natangaza Shunie ndiye shangazi wa makapuku!Shunie rafiki wa kweli...
Kuanzia leo natangaza Shunie ndiye shangazi wa makapuku!Shunie rafiki wa kweli...
Chura ni sofa langu la kulalia wakati nikiwa nimechoka mkuu!Faida za kuwa na chura ni ipi??
Huyo anazijua
Linaonekana lina usingiz murua sana mkuuChura ni sofa langu la kulalia wakati nikiwa nimechoka mkuu!
Kasema ni sofa lake la kulalia,,,ni kwel dada ake??Huyo anazijua
Khaaa mm najuaje jamani kaka ninge ebu muulize huyu BehaviouristFaida za kuwa na chura ni ipi??
Mm mzima jamani nani alikuteka hivi mapacha wako wawili wa kudownload hawajambo na mama yao kaka ninge
Nimekumiss zaid shunie,,vp u mzima ww??
Hahhahaha
Unalilaliaje jamaniChura ni sofa langu la kulalia wakati nikiwa nimechoka mkuu!
Nilikuwepo shunie,,,mama wawili hajambo kabsa,,anasema wifi wake umemtenga sanaMm mzima jamani nani alikuteka hivi mapacha wako wawili wa kudownload hawajambo na mama yao kaka ninge
Linaonekana lina usingiz murua sana mkuu
Hivi analilaliaje jamaniKasema ni sofa lake la kulalia,,,ni kwel dada ake??
Mm sijui kaka akeKasema ni sofa lake la kulalia,,,ni kwel dada ake??

Acha yamkute ya kumkuta no hajapewa yeye anaopiga etiKiherehere chake tu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()